Appy Tz – Watu Feki LYRICS — citiMuzik

Born on April 4, 1996, the exceptionally gifted Tanzanian singer and acclaimed singer Appy TZShe recently stormed the music scene with her latest track, titled “Watu Feki.” Dive into the captivating lyrics of this song below and immerse yourself in her musical Talent.
RELATED: Lava Lava Ft Diamond Platnumz – Tuna Kikao LYRICS

Appy Tz – Watu Feki Lyrics
Siku mbili sijalala sijakula
Ninastress
Nyumba imegeuka chumba cha dharura
Emergency
Sioni marafiki ama mashosti
Au mnasubiri nife ndio mniposti
Bora nitafute pesa
Ndugu wa kweli mafanikio
Watu feki watu feki
Sitaki marafiki siwataki ng’o
Sitaki wanafiki sitaki watu feki
Wambie walio nichat
Wakaniumiza roho
Sitaki wanafiki sitaki watu feki
Sijui ninyamaze ama niseme wanicheke
Ama nijikaze nilie ninyamaze nijiliwaze
Lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Watu feki wasioridhika
Nilishazika nikasafirisha
Watu feki watu feki
Leo Wanakupandisha
Kesho ndio watakushusha
Watu feki watu feki
Utakufa na njaa
Msibani watapika pilau
Ukishika Chapaa
Utacheka nawanao kudharau
Mmmm
Bora wali nyama kuliko walimwengu
Wakikosa sufuria watakupiga majungu
Ukweli unauma ukweli ni mchungu
Yes Yes Yes
Sitaki marafiki siwataki ng’o
Sitaki wanafiki sitaki watu feki
Wambie walio nicat wakaniumiza roho
Sitaki wanafiki sitaki watu feki
Sijui ninyamaze ama niseme wanicheke
Ama nijikaze nilie ninyamaze nijiliwaze
Lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah
Lah lah lah lah